Nchini Sierra Leone, wafanyabiashara ya ngono mara nyingi huonekana kama watu wasio na maadili wanaopaswa kutengwa na kuepukwa.
BBC Africa Eye inachunguza madhila wanayopitia wafanyabiashara ya ngono nchini humo na kugundua kuwa wengi wananyanyaswa, kusafirishwa na hata kuuawa.
Na kama Tyson Conteh anavyoripoti, maisha yao yamekuwa hatarini zaidi tangu kuibuka kwa janga la corona.
#bbcafricaeye #wanawake #bbcswahili #sierraleone