Mazao haya yana siku 30 toka nimepanda. Pata updates chache!
mali ipo shambani.
Category
Show more
Comments - 66
@
@TEACHER.CLEOPHAS3 years agoI really like watermelon farming and i' d like to start the process.
@
@mohdhassan99437 years agoAsante sana baba hata mm nataka niingiye kwenye kilimo cha tikiti nitskutafuta ili nipate ushauri wakoo inshallah. 1
@
@johnmakune74268 years agoIt is hearts such as this that are willing to share knowledge for development that are truly remarkable and deserving of the highest applause and reward. God bless you guys for sharing all the information you have shared. 3
@
@nafsajuma59197 years agoHongera sana kaka selemani pia samahan umetumia kiasi gani kuandaa n. A. Kupanda hadi ziote.
@
@emmanuelgabriel8488 years agoHongera sana bro kwa udhubutu lakini vipi mafanikio yakuwekeza kweny kilimo. 1
@
@MaishaBaluhya-nf5ok6 months agoTafadhari naomba namba ya simu kwa msaada zaidi.
@
@joshngojetv73644 years agoHabari. bwana sulemani naomba namba yako kunavitu nataka tuonge utusaidie kwenye project yangu. 1
@
@magaitumbo71114 years agoSafi nimeipenda hii. Ni mbegu gani unayolima ndugu.
@
@ghanacabletv53168 years agoAssalaam ' alaykum ndg suleiman. umenisaidia sana ktk majaribio yangu ya kilimo cha tikiti. Mungu akulipe kila la kheri.
@
@amonzachary27182 years agoBoss vp msimu mzuri wenye soko zuri kwa zao la tikiti ni upi yani nilime mwezi gan ilinivune msimu gan wenye bei nzuri sokoni wa zao la tikit.
@
@scholasticamchokopa65155 months agoNi mwez gani nzr wa kuandaa shamba la matikit? Yaan msimu mzr ambao unaweza kuuza bei nzr ukapata faida.
@
@pulcheriamayombo52223 years agoAsante nimepanda matikiti ila nimekosea kipimo cha mche na mche.
@
@rufanomushi11068 years agoSafi sana kaka tuendele kuelimishana wandugu uwo ndio uzalendo na hongera sana bro sule hongera sana kaka tuzidi kukaza. 1
@
@joazmgute87467 years agoSafi bwana sureman me nmeshalipia shamba nasubir tuu maji yapungue ili nianze maandaliz swali hilo shamba ulilo kadiria milion 30 lina ukubwa gan lakin unaweza kunipa makadilio ya ghalama had kuvuna.
@
@jameska12437 years agoNdg suleiman lam sorry bila kujali ningeomb namb yako by james,
@
@ayubumunapindamunapinda80163 years agoGram 1 nyany imara f1 ya mbegu be i gan.
@
@telesphorymwashem9484 years agoKaka sulemani naomba namba yko tuwasiliane.
@
@DIweni5 years agoKwa mashina ambayo hayakuota yanaachwa au unarudia kupanda?
@
@bestonmwasalemba69158 years agoSafi sana mkuu, napenda sana, tuko pamoja. 2
@
@danfordjosephjosephdanford71156 years agoVip bwana mkubwa toleo lingine tutalajie lini?
@
@dyankson6 years agoHongera! Safi sana kiongozi. Vijana tuzidi kuhamasishana kuwekeza kwenye kilimo. Kiongozi nimeanza na mladi wa shamba kilimo cha tikiti ili mwakani niwekeze. ...Expand
@
@danfordjosephjosephdanford71156 years agoBwana sulemani kwa hiyo ndiyo tumekoea hapa tu.
@
@hassanyusuph32042 years agoKwa makadilio ni bada ya mda gan unaweza kujua mda huu mmeasukari yake, ili kupunguza kiasi cha maji.
@
@fahadfahmy7 years agoMatikiti tunayoyaona au majani tunayoyaona?
@
@manasesimon765110 months agoMkuu unatumia dawa gani kuthibiti dondoo.
@
@emmanueleddiemwamakula33984 years agoHivi hii programu iliishia wapi? Nimejaribu kufuatilia ila sijapata mrejesho.
@
@silaspaulmakula43967 years agoHongera kwa kazi nzuri, ila naitaji pia ushauri wako kwani na mimina kilimo hicho cha matikiti.
@
@jacobshirima48604 years agoBwana sulemani je naweza kupanda tikiti kwa mbolea ya kuku?
@
@jumanzumbi12158 years agoHi sullemani, kwa shimo unaweka mbegu ngapi na matikitiki yakianza kuzaa unabakisha mangapi kwa mche mmoja.
@
@verohmchihiyo50297 years agoHikaka, naomba contact zako kama hautojal. N kuhus kilimo cha matikiti.
@
@adammakoye41986 years agoNaomba ujibu meseji nakutumia kwny namba yko hiyo ya voda.
@
@audaxmuganda8 years agoAsanteni sana lakini pia ningependa kujua anamwagilia kila baada ya muda gani na vipi siwez kupata namba yke anisaidie baadh ya mambo maana na mimi ndo naelekea huko kwenye hcho kilimo.
@
@allysalim19975 years agoKaka naomba unitafute. Mimi ndio nataka nianze hicho kilimo. Sijui chochote allyshkapoor91@
@
@rebecakwaleka80295 years agoWa tabora tunakuonaje? na unalima tikiti pekee au unaweza shauri hata mazao mengine mfano nyanya, tango na mengine. 1
@
@elizabethturuya59585 years agoMsaada wakokunakipindi ambacho unatakiwa kupunguza maji i' ll tunda lijitengenezee sukari yake yenyewe. Je katika kipindi hicho hauweki maji kabisa na je kipindi hicho matikikiti yanakuwa na muda gani. Pia umeongelea swala la kupiga dawa. Je ni dawa zipi ulixokuwa unatumia. ...Expand1
@
@joazmgute87467 years ago0762781194 kama hutajali unaweza ukanitafuta nipate namba yako.
@
@emmanueleddiemwamakula33988 years agoUmekuwa kimya sana mtaalamu wetu, tunasubiri feedback ya kilimo cha matikikiti.
@
@silaspaulmakula43967 years agoNitakutafuta tuzungumze vizuri, silas teku hapa. 2
Related videos for KILIMO CHA TIKITI MAJI TABORA (SIKU YA 30 BAADA YA KUPANDA):
bwana sulemani naomba namba yako kunavitu nataka tuonge utusaidie kwenye project yangu. 1
umenisaidia sana ktk majaribio yangu ya kilimo cha tikiti. Mungu akulipe kila la kheri.
allyshkapoor91@
na unalima tikiti pekee au unaweza shauri hata mazao mengine mfano nyanya, tango na mengine. 1