@estermlonganile16043 years agoHuyo pia ni mtu wa mungu hongera sana mkuu wa koa wa mwanza. 2
@
@judithkagoro53842 years agoMambo sawa sawaaa ee bwana naomba ukomboe familia yangu nitokapo ktk mkutano huu kila mmoja apate kufunguliwa kiuchumi magonjwa ameen. In jesus name.
@
@asteriamathias92932 years agoNmejiungamanisha na ibada hii naamini nmefunguliwa na familia yangu, kiuchumi, ndoa kazi yangu kupandushwa cheo kazini, mzazi mwenzangu kuepushwa nguvu. ...Expand
@
@christinakipacha8853 years agoAmina mkuu wa mkoa hakika wew pia ni mkuu unayemjua mungu.
@
@veronicafrancis25452 years agoNajiungamisha na madhabahu hii. Eeh mungu baba nikomboe na familia yangu, tufungue ukoo wangu wote. Natoka kwa farau, umaskini, maradhi wotee naufuta na napokea baraka zotee, uchumi na uponyaje. ...Expand
@
@mudyahmad58973 years agoKwa jina naitwa emmanuel babelykwenye madhabahu hii ya usku hu naamin napokea upako kwa jina la yesu na kuikomboa familia zima kwa jina la yesu amen. 1
@
@happinesstesha47453 years agoNapokea kwa jina la yesu muujiza wanguu wa gari.
@
@mashamshamu93863 years agoMungu naomba mfungue dada yngu miliamu. Kupitia madhahabu hii ya inuka uwangaze.
@habibampinga82403 years agoNiko arushana madhabahu ya a raise and shine mwanza amen naamini mungu wa mwamposa atakutana na mm leo live yesu nimekuja nataka unisaidie amen.
@
@lisamassala94123 years agoMkuu wa mkoa wa mwanza yuko fire kiroho safi yan ana full maupako.
@
@sophiakileo98963 years agoNaitw sophia na mimi napekea kufunguri kwa jina la yesu. 1
@
@nancyjohn67233 years agoNaamin kupitia mtumishi wako mwamposa ntafungulia.
@
@happinesstesha47453 years agoNajiunganisha kwenye madhabahu hii nahitaji gari mtumishi wa mungu kwako inawezekana napokea gari langu.
@
@sarafinathomasi44103 years agoNajikonecti na ibada hii ya leo mungu nitendee fungua maisha yangu kwajina la yesu.
@
@odethadismas14103 years agoAsante mkuu wa mkoa wa mwanza kwa kuongeza ulinzi kwa mtume, mungu akubariki.
@
@vickiemanuel49243 years agoNaitwa vick naomba mungu anisaidie kunifungua ufahamu wangu na watoto wangu ninaamini mungu wa madhabahu ii nitafunguliwa.
@
@MwanahamisiHadithi-cx9bb10 months agoHe mwenyezimungu nibaliki nifunge ndoa na mume wangu.
@
@marymwera23783 years agoNapokea mtume kwa jina la yesu kristo ameen. 1
@
@vickiemanuel49243 years agoNapokea kupitia kipindi hiki kwa jina la yes. 1
@
@eunicejeremiah37243 years agoMchumba wangu atapokea pesa mda hu nyingi mtume akifka tuu madhabahuni napoles kibali. 1
@
@sophiakileo98963 years agoNapokea uponyaji kulitoa mini mahaba linalonisumbua. 1
@
@christinakipacha8853 years agoNapokea uponyaji wa tumbo langu kupitia kongamano ili napokea ujauzito kwa jina la yesu.
@
@dorahhanga67813 years agoNajiungamanisha na madhabahu hii mungu nijalie.
@
@familiabartolomebartolomeu84952 years agoKwa jina naitwa familia bartolomeu jacob nhanhonho niko subinji ninapokea upako na uponhadi kwa jina la yesu kristo.
@
@vickiemanuel49243 years agoNaomba nifunguliwe na watambue thamani yangu niheshimiwe. 1
@
@lunangatamitunda97073 years agoNajiunga na mazababu ya inuka uangaze nina amini namimi tafunguliwa kwa imani.
@
@gksd16023 years agoMungu tuondolee pepo ma corona kwa jina la yesu. 1
@
@asteriamathias92932 years agoNmejiungamanisha na ibada hii naamini nmefunguliwa na familia yangu, kiuchumi, ndoa kazi yangu kupandushwa cheo kazini, mzazi mwenzangu kuepushwa nguvu. ...Expand
@
@veronicafrancis25452 years agoNajiungamisha na madhabahu hii. Eeh mungu baba nikomboe na familia yangu, tufungue ukoo wangu wote. Natoka kwa farau, umaskini, maradhi wotee naufuta na napokea baraka zotee, uchumi na uponyaje. ...Expand
Related videos for MWANZA KONGAMANO KUBWA LA UKOMBOZI WA ARDHI NA KUCHOVYA MIGUU KWENYE MAFUTA YA UPAKO [08.07.2021]: