Duration 13:17

Wananchi Arumeru wamtoa jasho Jerry Muro/ Kisa ..

88 933 watched
0
165
Published 26 Nov 2018

Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro amewaomba wananchi kutomuingilia muekezaji wa eneo la shule ya msingi Mringa Kata ya Olorien ambaye anamiliki kihalali. Murro alifika eneo hilo kupatanisha mgogoro wa wananchi ambao walikuwa wanalazimisha muwekezaji kuondoka eneo hili hivyo ikapelekea kuingilia kati na kuwataka wananchi kuwa wapole kwa kuwa pia serikali inapata kodi kutokana na eneo hilo

Category

Show more

Comments - 176