Duration 5600

CCM YATOA TAMKO KALI KWA VIONGOZI WAKE

360 watched
0
2
Published 26 Jul 2021

Chama Cha Mapinduzi kinafutilia kwa makini mienendo ya baadhi viongozi wake ambao wamekuwa wakipotosha Umma na kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu na maadili ya Chama. CCM inawakikishia wanachama na watanzania kuwa hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya wote ambao wanatumia nafasi hiyo kusukuma ajenda zao binafsi, kwa mujibu wa Katiba, kanuni za maadili na uongozi za CCM Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi.

Category

Show more

Comments - 2