Serikali ya Kenya imelaumiwa pakubwa kwa kushindwa kuwatetea raia wake wanaofanya kazi za ujakazi Mashariki ya Kati. Siku chache baada ya Wizara ya Leba kupiga marufuku mawakala wote wanaowapa Wakenya ajira Ughaibuni, Wakenya ambao sasa wanahudumu hasa nchini Saudi Arabia wameendelea kupitia mahangaiko bila kuona mkono wa ubalozi wa Kenya. Saida Swaleh
Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live
Follow us on http://www.twitter.com/ktnkenya
Like us on http://www.facebook.com/ktnkenya