@jenniferwanja26544 years agoThe more i play this song i love it i' m proud to be african thank you diamond god bless you keep your good work. 5
@
@rahmamlela4 years agoKazi nzr sana hasa director kenny. We are so proud of you naomba behind the scene iendele bado cjamuona zuchu! I loove her. 14
@
@aldenyfude17384 years agoWanaoangalia na kusoma comment gonga like, 124
@
@wangaringure20024 years agoAlot of love from kenya super woman nimependa enough respect. I love diamond' s humbleness salute and enough respect to him. 3
@
@nasramanoro73613 years agoDiamond hongera sana nakupongeza hii nyimbo inavuta hisia sana na inaleta ujasiri kwa mwanamke na unajiona no matter what wewe ni mtu muhimu kwako familia yako na jamii kwa jumla hongera kwa ubunifu wako. 4
@
@balkissberky99754 years agoI really love this girl known as abby chamy, she' s very talented en genius. 92
@
@amillejj.4284 years agoAbby chams the confidence every girl needs! 7
@
@fbr51134 years agoWcb hawakamatiki ni wabunifu sana. Keep it up guys mnapendwa sana. 37
@
@theozansfamily10294 years agoAbby chams goosebumps she is talented. 4
@
@musampate2794 years agoDaa yani simba huezi dhania kama ndo boss yani usalimie watu wote hvyo alafu very humblenapenda anavyo kua nnje ya camera alafu yuko sawa huezi dhania kama project n yake daa more life kwa huyo boss. 77
@
@ellieellie14694 years agoThanks for this song simba! You' re a genius. Just love you. 2
@
@truth12553 years agoWooowthe 16 yrs old lady is just extremely talented. 1
@
@abuukulinga79214 years agoUyu jamaa sio jau uko ok sana namkubali sana anazingatia kinachomueka mjini safi sana mzee simbaaa like zake apa chini wadau. 63
@
@bintimohamed26464 years agoSupper may god bless womens in all world. 2
@
@MukiKyuls3 years agoAbby chams atavukisha tanzania to another level. Heard her on all stars magufuli song it was hard to ignore her. She stood out and so is she to this song. Team kenya mpo. 2
@
@teshlermutash90554 years agoThat' s the real definition of super woman. Thanks allwas incredible. Pull up guys. We can do it.
@
@hmattakimbunga86314 years agoDadadakeki haka katoto kameua sana yaani inshort music kanaujua sana. 41
@
@blandinamnyinga83184 years agoAction shows a person true characters (let' s give this boy break sometimes)may be he' s not good with women but when it comes to his work! He is goood. 28
@
@sarafinaseverine40804 years agoAbby family are so supportive yani hadi raha sio like other parent wana mhh discourage mtoto mpka anashindwa kwenda bembele au kujiamini mwenyew. 29
@
@delvisosewe65142 years agoI' ve picked interest on abby. Wow. She' s amazing. 2
@
@ilovejesus93034 years agoAbby chamy very confident girl at your age keep it up girl. 1
@
@rahmaabdulrahmaabdul17814 years agoAm super womaan hata kama nasugua hammam kwa muarabu but najituma iko wapi likes za kadama. 110
@
@jummtalimbo1234 years agoSong naikibalo sn siku yakwanza kuiona ililushwa nusu kwenye group dah nilidia mpaka nikaikalili namm naisaka yani hua inanifaliji na kazi zetu ugaibun napenda sn hongeren sn sup woman. 7
@
@alledymaimbosikaz12974 years agoBig up to simba nigga you always impresses me with what you do. 3
@
@ndamayapejr77254 years agoDirector mond na director kane kazii nzurii penda xna mond kasalimia kila mtu. 2
@
@alexmussa25984 years agoUsiwe mnyonge kitandani. Shida ya nguvu za kiume husababishwa na: 1. Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, 2. Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n. K kwa wengi. kwa vijana na baadhi ya watu wazima 4. Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao au kukosa hamu ya tendo la ndoa kabisa 5. Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano wa kemikali mbaya mwilini 6. Mishipa ya damu kujaa mafuta na moyo kutofanya kazi vizuri n. K hii ni bidhaa maalum kwa wanaume. kwa mawasiliano zaidi tucheki whtsp/call 074811. ...Expand5
@
@rmags86544 years agoDiamond shouldnt be blamed for every breakup. I just think even the women he meets are desperate and sometimes looking for fame. Why would anyone get p. ...Expand13
@
@funnygirl67624 years agoMwengine nani watch na kusoma comment au mm pekeangu. 45
@
@lovenessmwaitege53243 years agoKweli wimbo huu umekuwa pawafu sana kwangu naupenda mno ni wimbo wangu kweli unasema kunihusu hongera kwako mtunzi daimond. 2
@
@fatumammalinda57874 years agoWatatu maashaalaah like kwa diamond akeee. 85
@
@gotchyoback69284 years agoNaona simba yuko serious kinoma na kazi zake. 35
@
@kili0014 years agoKazi mzee baba this how we do 2020 more gas. 12
@
@fbr51134 years agoYule abby unaweza amini kama kasomea shule zote bongo lakini kiswahili shida na akiongea kiswahili chake kipo kama cha kizungu. 49
@
@cadeyvassir11324 years agoI' m simple person, i saw diamond simba i clicked. 15
@
@kucha_home_service74724 years agoMim nimemuona abby charm' s pekeake. 31
@
@zaiiomary89704 years agoHawa nakupenda kutoka nitalejea lik kwa hawa wake. 72
@
@irenesikha76364 years agoWimbo mzuli umetupatia wanawake kujiamini sana kama kumbe na sisi tuna weza. 20
@
@latifaseif63844 years agoAbby upo vizur sn mdog wangu yani dah lov so much. 2
@
@mourinebey_kenya70274 years agoMimi huyo director ken huwa ananimaliza kwali huyu kaka ni mzuri jamani. 44
@
@lightnessntaganyila82724 years agoKumbe diamond ndo uko humble kama ivo aisee mekukubali sana. 2
@
@rosedaniel92104 years agoAhahah nimewapenda wote hasa diamond na abby. 8
@
@wahiduitsverycommentmane54214 years agoIvi mbona huko kenya sionagi mishughuliko kama hii jmn hahah kwani wanakwama wap ila tanzania number one tu milelee amin. 1
@
@petromahava8654 years agoMjaweka majona ya waimbajii. Wengine hatuwajui. But it' s a nice work. 12
@
@officialsule96034 years agoDimomd platnumz utazidi kufka mbali maisha yako yote. 16
@
@imathomas73024 years agoUkiacha love ya mondi kwa watu wote nilichogundua mondi anampenda san kenny very nice.
@
@blackgiantupdates8314 years agohere is the hitting point Simba bin laden's scene..mchizi star sana aisee 26
@
@fatumamawona97034 years agoNimependa dai kutembea kusalimia kila mmoja yan hajisikii. 1
@
@wahiduitsverycommentmane54214 years agoKama umeskia babu talee akisema piga kelelee kwa mama sadaka akee acha like pls tukiendaga. 4
@
@eliyajakobo6443 years agoWasanii wa kike naona haiwahusa nyimbo hii, maana jina tu rinatosha, sijui kwer.
@
@ramadhaniabdi95304 years agoIlo choko mmelitoa wapi. Wasafi kwel noma. 2
@
@kisasuproduction48564 years agoProject ni nzuri sana, ila director ungeliweza kuandika majina ya hao wa mama kama vile wasichana. Aksanti kwa kazi nzuri. 1
@
@khadijajuma61304 years agoHuyu kaka alovaa pens nyeus na shat nyeus simuelew naona kama mwenzetu mana alikuja zenj kwenye video ya jeje pale madina nikazan anaekt ushoga ila nahuku akipngea mwonekano wake mtihan wallah. 1
@
@evaingram74994 years agoLike you simba you are good lakini kuna sehemu ndoogo unafeli. 2
@
@amour00724 years agoPart 3 plz i wanna see the woman for chorus. 1
Related videos for TANZANIAN WOMEN ALL STARS - SUPER WOMAN (BEHIND THE SCENE) PART 2:
naomba behind the scene iendele bado cjamuona zuchu! I loove her. 14
penda xna mond kasalimia kila mtu. 2
1. Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, 2. Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n. K kwa wengi.
kwa vijana na baadhi ya watu wazima
4. Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao au kukosa hamu ya tendo la ndoa kabisa
5. Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano wa kemikali mbaya mwilini
6. Mishipa ya damu kujaa mafuta na moyo kutofanya kazi vizuri n. K
hii ni bidhaa maalum kwa wanaume.
kwa mawasiliano zaidi tucheki whtsp/call
074811. ...Expand 5